Huu ndiyo msimamo wa Nape.

In Siasa

Mbunge wa Jimbo la Mtama Nape Nnauye yupo Jimboni kwake ambapo kabla ya kushuhudia fainali ya Kombe la Dunia amezungumza na Wananchi wake juu mambo mbalimbali ikiwemo msimamo wake juu ya bei ya zao la Korosho.

“Duniani kazi ya Serikali ni kukusanya kodi, katika kupambana na umasikini wetu nilijua moja ya tatizo kubwa ni bei ya mazao yetu, wakazi wa Mtama ni wakulima na Mimi kwa kuwatetea wananchi sitojali hatua yoyote serikali itakayochukua” amesema Nape

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu