Mwili wa Tshsekedi wawasili Kinshasa

In Kimataifa

Mwili wa kiongozi wa zamani wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Etienne Tshisekedi umewasili kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Kishasa kutoka Ubelgiji ikiwa ni miaka miwili tokea kufariki kwake. Tshisekedi aliyefariki akiwa na umri wa miaka 84 alikuwa kiongozi wa upinzani kwa miongo kadhaa nchini Kongo, kabla ya kifo chake mwaka 2017 nchini Ubelgiji. Kurejeshwa kwa mwili wake kunatimiza mojawapo ya ahadi za mwanawe Felix Tshisekedi ambaye aliingia madarakani kama rais Kongo mapema mwaka huu. Maelfu ya watu wanatarajiwa leo kuhudhuria ibada ya kuuaga mwili wa Tshisekedi katika uwanja wa mpira mjini Kinshasa. Viongozi wa mataifa sita ya Afrika wanatarajiwa kuhudhuria mazishi yatakayofanyika kesho Jumamosi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu