Sheikh Mkuu wa Tanzania atangaza sikukuu ya Idd

In Kitaifa
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Allyametangaza kuwa sikukuu ya Idd El-Adh’haa itakuwa siku ya Jumatatu, August 12,2019, Swala ya Eid Kitaifa itaswaliwa viwanja vya Masjid Kibadeni,Chanika,Jijini DSM ikifuatiwa na Baraza la Eid katika viwanja hivyohivyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu