Waziri Mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa Mhe.Edward Lowassa amewataka waislamu kuliombea Taifa na kuwaombea viongozi katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Mhe.Lowassa amewatakia mfungo mwema waislamu wote na amewaasa wafanya biashara huu wasiutumie mwezi huu kupata faida wautumie mwezi huu kuchuma thawabu na sio kuchuma dhambi.