Taka amepiga marufuku hoteli zote kubwa za kitalii kuuza bidhaa za kitamaduni

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mh Rashid Taka amepiga marufuku hotel zote kubwa za kitalii kuuza bidhaa za
kitamaduni kwani kuendelea kuuza bidhaa hizo ni kuwanyima fursa wenyeji kufanya biashara hizo za kitamaduni na hivyo kutoa miezi 4 mpaka kufikia tarehe 30 juni wawe wamemaliza kuuza bidhaa za kitamaduni zilizopo kwenye hoteli zao au kuzirudisha katika maboma ya kitamaduni (cultural tourism) .

Ametaka bidhaa hizo za kitamaduni ziwe zinauzwa katika maboma ya kitamaduni ili kulinda na kutunza utamaduni wa wenyeji badala ya kuwaibia ujuzi na ubunifu wao.

Ametoa katazo /agizo hilo wakati wa ugawaji wa mifugo 624 walipatikana kupitia boma la utalii wa kitamaduni la Ndemwa lililopo katika kata ya Olbalbal Wilaya ya Ngorongoro.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu