MNADA WA ALMASI WDL WAZIDI KUPAMBA MOTO.

In Uchumi

Leo tarehe 20 Februari, 2020 mnada wa asilimia tano ya madini ya almasi kutoka katika Mgodi wa Williamson Diamond Limited (WDL) umeendelea kupamba moto baada ya wadau wengi wa madini kuendelea kujitokeza.

Akizungumza kupitia mahojiano maalum, Meneja wa Biashara ya Madini wa Tume ya Madini, George Kaseza amesema kuwa kumekuwepo na mwitikio mkubwa kwenye uwasilishaji wa zabuni mbalimbali katika kituo cha ununuzi wa madini cha Mwadui (Mwadui Buying Centre)

Mnada huo umeanza tangu tarehe 18 Februari, 2020 ambapo wanunuzi wadogo wa madini ya almasi wananunua madini hayo na kwenda kuuza kwa wauzaji wakubwa wa madini waliopo katika Soko la Kimataifa la Dhahabu na Almasi lililopo Shinyanga Mjini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu