Gwajima ajilipua bungeni.

In Kitaifa

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima leo
amesimama bungeni kuchangia Bajeti ya Ofisi ya Waziri mkuu
na kueleza kuwa,hakuna taifa lililoendelea duniani bila mpango
wa muda mrefu.


Katika mchango wake Askofu Gwajima ameeleza kuwa kama
itatokea siku nchi ikapata Rais asie na maono basi taifa
litaanguki pua kwani hatakuwa na mpango wa kitaifa anaopaswa
kuufuata.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu