Asilimia 1.4 ya Watanzania wanajisaidia vichakani.

In Afya, Kitaifa

Imeelezwa kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani
imepungua kutoka asilimia 5.7 mwaka 2017,hadi asilimia 1.4
Desemba 2021.


Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,
wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya
Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka
mitano ya kampeni hiyo nchini.


Amesema sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika
baadae mwaka huu itatoa takwimu halisi ni kwa kiasi gani
Watanzania wamefanikiwa katika kuwekeza katika kuwa na
vyoo bora,na kuyataja baadhi ya maeneo yaliyofanya vizuri
katika kampeni hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu