Arusha waanza uandikishaji wapiga kura.

In Kitaifa


Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt Maulid Madeni ameongoza
zoezi la kutoa mafunzo kwa waandikishaji wa wapiga kura
kwenye daftari lakudumu la uchaguzi unaotarajiwa kufanyika
mwaka huu 2020.


Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt Maulid Madeni amesema
kuwa ni utaratibu wa kawaida kutoa mafunzo hayo kila
unapokaribia uchaguzi lengo likiwa ni kuwapatia wasimamizi
hao ujuzi wa utekelezaji wa majukumu yao vizuri katika kipindi
cha uchaguzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu