CHAMA RASMI KUKIPIGA YANGA

In Michezo

Baada ya Clatous Chota Chama kumaliza mkataba wake wa kuichezea Simba SC jana June 30, 2024, hatimaye ametambulishwa rasmi kama Mchezaji mpya wa Yanga SC na kumaliza tetesi za muda mrefu kwa Chama anaondoka Simba SC baada ya kuitumikia kwa miaka 6 katika vipindi viwili tofauti.

Chama alijiunga Simba SC kwa mara ya kwanza 2018 akitokea Lusaka Dynamos ya Zambia na kisha 2021 kuondoka Simba SC na kujiunga na RS Berkane aliyodumu kwa msimu mmoja na kurejea Simba SC 2022.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu