CHAMA RASMI KUKIPIGA YANGA

In Michezo

Baada ya Clatous Chota Chama kumaliza mkataba wake wa kuichezea Simba SC jana June 30, 2024, hatimaye ametambulishwa rasmi kama Mchezaji mpya wa Yanga SC na kumaliza tetesi za muda mrefu kwa Chama anaondoka Simba SC baada ya kuitumikia kwa miaka 6 katika vipindi viwili tofauti.

Chama alijiunga Simba SC kwa mara ya kwanza 2018 akitokea Lusaka Dynamos ya Zambia na kisha 2021 kuondoka Simba SC na kujiunga na RS Berkane aliyodumu kwa msimu mmoja na kurejea Simba SC 2022.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Kasri la R. Kelly “Chocolate Factory” lauzwa Chicago Baada ya Historia ya Utata

Nyumba kubwa iliyoko katika suburbs za Chicago, maarufu kama “Chocolate Factory” ya R. Kelly kutokana na albamu aliyorekodi hapo,

Read More...

UJENZI WA DARAJA LA 6 KWA UREFU TANZANIA LA PANGANI WAFIKIA ASILIMIA 74.3

Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi na mchepuko zenye urefu wa Kilomita

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu