Dk Hamisi Kigwangala aagiza wakuu wa mikoa kukaa pamoja na viongozi wa sekta ya Afya katika wilaya zao.

In Kitaifa

Naibu Waziri wa Afya, Jinsia, Wazee na Maendeleo ya Jamii Dk Hamis Kigwangala, amewaagiza wakuu wa mikoa kukaa pamoja na viongozi wa sekta ya afya katika wilaya zao, kuhakikisha huduma za kliniki tembezi ya madaktari bingwa zinafika vijijini.
Dk Kigwangala ametoa agizo hilo juzi wilayani Kongwa, wakati akizindua huduma ya kliniki tembezi ya madaktari bingwa, inayoendeshwa na madaktari wa bingwa wa Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Dodoma.
Hata hivyo amesema ili kufanikisha kampeni hiyo ya kliniki tembezi ya madaktari bingwa, kila wilaya inatakiwa kuhakikisha inapanga bajeti ya kutoa huduma hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Kasri la R. Kelly “Chocolate Factory” lauzwa Chicago Baada ya Historia ya Utata

Nyumba kubwa iliyoko katika suburbs za Chicago, maarufu kama “Chocolate Factory” ya R. Kelly kutokana na albamu aliyorekodi hapo,

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu