Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) yaanzisha huduma mpya ya uchunguzi wa wajawazito ya wagonjwa wa Moyo kwa watoto.

In Kitaifa

Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeanzisha huduma mpya ya uchunguzi kwa wajawazito ya magonjwa ya moyo kwa watoto, ambayo itasaidia kuokoa vifo vya watoto 120 hadi 240 wanaopoteza maisha kila mwaka.

Huduma hiyo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini kwa nchi za Afrika Mashariki, pia itawezesha watoto zaidi ya elfu 12 hadi elfu 13 wanaozaliwa kwa mwaka wakiwa na matatizo hayo, kupata matibabu mapema.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto Dk Naiz Majani amesema kuwa, kwa wastani mtoto mmoja kati ya 100 wanaozaliwa huwa na tatizo hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Awasili Istanbul kwa Mkutano wa OIC

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amewasili rasmi leo mjini Istanbul kwa ajili ya kushiriki Mkutano

Read More...

RAIS SAMIA ATIMIZA AHADI YAKE KWA KUKAMILISHA DARAJA LA JP MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametimiza moja ya ahadi zake muhimu kwa Watanzania

Read More...

Trump apiga marufuku raia wa mataifa 12 kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini tangazo jipya linaloweka marufuku kali kwa raia wa mataifa 12 kuingia nchini

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu