Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) yaanzisha huduma mpya ya uchunguzi wa wajawazito ya wagonjwa wa Moyo kwa watoto.

In Kitaifa

Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeanzisha huduma mpya ya uchunguzi kwa wajawazito ya magonjwa ya moyo kwa watoto, ambayo itasaidia kuokoa vifo vya watoto 120 hadi 240 wanaopoteza maisha kila mwaka.

Huduma hiyo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini kwa nchi za Afrika Mashariki, pia itawezesha watoto zaidi ya elfu 12 hadi elfu 13 wanaozaliwa kwa mwaka wakiwa na matatizo hayo, kupata matibabu mapema.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto Dk Naiz Majani amesema kuwa, kwa wastani mtoto mmoja kati ya 100 wanaozaliwa huwa na tatizo hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu