Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) yaanzisha huduma mpya ya uchunguzi wa wajawazito ya wagonjwa wa Moyo kwa watoto.

In Kitaifa

Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeanzisha huduma mpya ya uchunguzi kwa wajawazito ya magonjwa ya moyo kwa watoto, ambayo itasaidia kuokoa vifo vya watoto 120 hadi 240 wanaopoteza maisha kila mwaka.

Huduma hiyo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini kwa nchi za Afrika Mashariki, pia itawezesha watoto zaidi ya elfu 12 hadi elfu 13 wanaozaliwa kwa mwaka wakiwa na matatizo hayo, kupata matibabu mapema.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto Dk Naiz Majani amesema kuwa, kwa wastani mtoto mmoja kati ya 100 wanaozaliwa huwa na tatizo hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu