Haikubaliki kununua majina ya barabara na mitaa.

In Kitaifa

Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape
Nnauye,ametahadharisha halmashauri zote nchini kuwa makini
na wenye Pesa ili wasitumie uwezo wao kununua majina ya
mitaa na barabara.


Waziri Nape amesema uwekaji wa majina ya mitaa na barabra ni
vyema yakaakisi uhalisia wa nchi,ikiwamo kutumia majina ya
viongozi mashuhuri wa nchi na majina ya baadhi ya watu
mashuhuri kwenye maeneo.


Waziri Nape ametoa tahadhari hiyo wakati akizungumza na
viongozi wa mkoa wa Kilimanjaro,katika mwendelezo wa ziara
yake ya kukagua na kuhamsisha zoezi la anwani za makazi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu