JAY Z Mwana HIP HOP aliyeongoza kuingiza pesa nyingi 2021

In Burudani, Kimataifa

Wakati Jay-Z na Kanye West walipozindua albamu yao ya kitambo ya Watch the Throne mwaka 2011, walipata mapato ambayo yanaonekana kuwa ya kawaida. Jay-Z aliingiza dola milioni 37, akiongoza orodha ya Forbes ya “Hip-Hop Cash Kings”, huku Kanye akiingiza $16 milioni.

Jay-Z anatajwa kuongezeka kwa pato lake ni kutokana na kuuza hisa zake za TIDAL kwa kampuni ya Square Inc. Nafasi ya pili inashikiliwa na rappa Kanye West ambaye inatajwa pato lake kubwa limeongezeka kupitia biashara zake za bidhaa za Yeezy.


Kumekuwa na maingizo mapya huku Doja Cat akiwa mwanamke pekee aliyemo katika orodha hiyo ya wanamuziki 10 wa Hip hop walioingiza fedha nyingi, akiwa katika nafasi ya 10.

orodha kamili.

1. JAY-Z – $470 million
2. Kanye West – $250 million
3. Diddy – $75 million
4. Drake – $50 million
5. Wiz Khalifa – $45 million
6. Travis Scott – $38 million
7. DJ Khaled – $35 million
8. Eminem – $28 million
9. J. Cole – $27 million
10. Birdman – $25 million
10. Doja Cat – $25 million
10. Tech N9ne – $25 million

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu