JAY Z Mwana HIP HOP aliyeongoza kuingiza pesa nyingi 2021

In Burudani, Kimataifa

Wakati Jay-Z na Kanye West walipozindua albamu yao ya kitambo ya Watch the Throne mwaka 2011, walipata mapato ambayo yanaonekana kuwa ya kawaida. Jay-Z aliingiza dola milioni 37, akiongoza orodha ya Forbes ya “Hip-Hop Cash Kings”, huku Kanye akiingiza $16 milioni.

Jay-Z anatajwa kuongezeka kwa pato lake ni kutokana na kuuza hisa zake za TIDAL kwa kampuni ya Square Inc. Nafasi ya pili inashikiliwa na rappa Kanye West ambaye inatajwa pato lake kubwa limeongezeka kupitia biashara zake za bidhaa za Yeezy.


Kumekuwa na maingizo mapya huku Doja Cat akiwa mwanamke pekee aliyemo katika orodha hiyo ya wanamuziki 10 wa Hip hop walioingiza fedha nyingi, akiwa katika nafasi ya 10.

orodha kamili.

1. JAY-Z – $470 million
2. Kanye West – $250 million
3. Diddy – $75 million
4. Drake – $50 million
5. Wiz Khalifa – $45 million
6. Travis Scott – $38 million
7. DJ Khaled – $35 million
8. Eminem – $28 million
9. J. Cole – $27 million
10. Birdman – $25 million
10. Doja Cat – $25 million
10. Tech N9ne – $25 million

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu