KANYE WEST, FUTURE NA KENDRICK LAMAR KUPAMBA TAMASHA LA ROLLING LOUD 2022

In Burudani, Kimataifa

Wakali wa rap Kanye West, Future na Kendrick Lamar Wataongoza kwenye tamasha la Rolling Loud ndani ya ukumbi wa Hard Rock, Miami Gardens julai mwaka huu.

Tamasha hilo la muziki linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki litafanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 22 hadi 24 Julai, pia litashambuliwa na wakali wengine kama Kodak Black, Lil Baby, Playboi, Lil Uzi Vert, Gunna, Gucci Mane, 2 Chainz, Lil Durk na wengine wengi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu