KANYE WEST, FUTURE NA KENDRICK LAMAR KUPAMBA TAMASHA LA ROLLING LOUD 2022

In Burudani, Kimataifa

Wakali wa rap Kanye West, Future na Kendrick Lamar Wataongoza kwenye tamasha la Rolling Loud ndani ya ukumbi wa Hard Rock, Miami Gardens julai mwaka huu.

Tamasha hilo la muziki linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki litafanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 22 hadi 24 Julai, pia litashambuliwa na wakali wengine kama Kodak Black, Lil Baby, Playboi, Lil Uzi Vert, Gunna, Gucci Mane, 2 Chainz, Lil Durk na wengine wengi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu