Kiongozi wa juu China ahukumiwa kifungo cha maisha.

In Kimataifa

Leo May 8 aliyewahi kuwa Kiongozi wa Juu wa Chama cha Kikomunisti nchini China na kuwahi kugombea nafasi kubwa za uongozi serikalini, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya rushwa.

Kiongozi huyo Sun Zhengcai amekutwa na hatia ya kuchukua hongo ya hadi Dola za Marekani milioni 26.7, ambayo ni sawa na Shilingi Bilioni 64 za Kitanzania.

Kiongozi huyu mwenye umri wa miaka 54 alikiri kutenda kosa hilo mwezi April 2018 na inaelezwa kuwa mali zake zote ambazo amezipata kwa njia haramu zitataifishwa.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu