KYLIE NA TRAVISS WAPATA MTOTO WA PILI

In Burudani, Kimataifa

Mwanamitindo Kylie Jenner pamoja na Rapper Travis Scott Wamebarikiwa KupataMtoto WaPiliPamoja,  KupitiaInstagramya Kylie  Ametangaza Ujiowa Mtoto Wao Huyo kwa kupost picha iliyoonyesha Mkono umeshikilia mkono wa mtoto mdogo, huku akiweka imoge ya love ya blue nakuandika 2/2/2022.

Ikumbukwe Stormi alizaliwa Februari 1, 2018, Hivyo stormi na Mdogo wake wamezaliwa mwezi mmoja na kupishana tarehe na mwaka tu. Kylie Jenner amethibitisha kuwa mjamzito mnamo Septemba kwamba yeye na rapper Travis walikuwa wanatarajia mtoto wao wapili pamoja.

Mnamo Machi 2019, jarida la Forbes lilimjumuisha Kylie Jenner kwenye orodha ya mabilionea. Jenner alikua bilionea mwenye umri mdogo zaidi duniani akiwa na umri wa miaka 21 utajiriwa Jenner pia unatokana na kampuni yake ya urembo, Kylie Cosmetics, yenye thamani ya dola milioni 800.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu