KYLIE NA TRAVISS WAPATA MTOTO WA PILI

In Burudani, Kimataifa

Mwanamitindo Kylie Jenner pamoja na Rapper Travis Scott Wamebarikiwa KupataMtoto WaPiliPamoja,  KupitiaInstagramya Kylie  Ametangaza Ujiowa Mtoto Wao Huyo kwa kupost picha iliyoonyesha Mkono umeshikilia mkono wa mtoto mdogo, huku akiweka imoge ya love ya blue nakuandika 2/2/2022.

Ikumbukwe Stormi alizaliwa Februari 1, 2018, Hivyo stormi na Mdogo wake wamezaliwa mwezi mmoja na kupishana tarehe na mwaka tu. Kylie Jenner amethibitisha kuwa mjamzito mnamo Septemba kwamba yeye na rapper Travis walikuwa wanatarajia mtoto wao wapili pamoja.

Mnamo Machi 2019, jarida la Forbes lilimjumuisha Kylie Jenner kwenye orodha ya mabilionea. Jenner alikua bilionea mwenye umri mdogo zaidi duniani akiwa na umri wa miaka 21 utajiriwa Jenner pia unatokana na kampuni yake ya urembo, Kylie Cosmetics, yenye thamani ya dola milioni 800.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu