KYLIE NA TRAVISS WAPATA MTOTO WA PILI

In Burudani, Kimataifa

Mwanamitindo Kylie Jenner pamoja na Rapper Travis Scott Wamebarikiwa KupataMtoto WaPiliPamoja,  KupitiaInstagramya Kylie  Ametangaza Ujiowa Mtoto Wao Huyo kwa kupost picha iliyoonyesha Mkono umeshikilia mkono wa mtoto mdogo, huku akiweka imoge ya love ya blue nakuandika 2/2/2022.

Ikumbukwe Stormi alizaliwa Februari 1, 2018, Hivyo stormi na Mdogo wake wamezaliwa mwezi mmoja na kupishana tarehe na mwaka tu. Kylie Jenner amethibitisha kuwa mjamzito mnamo Septemba kwamba yeye na rapper Travis walikuwa wanatarajia mtoto wao wapili pamoja.

Mnamo Machi 2019, jarida la Forbes lilimjumuisha Kylie Jenner kwenye orodha ya mabilionea. Jenner alikua bilionea mwenye umri mdogo zaidi duniani akiwa na umri wa miaka 21 utajiriwa Jenner pia unatokana na kampuni yake ya urembo, Kylie Cosmetics, yenye thamani ya dola milioni 800.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu