MADELEKA AIKIMBIA CHADEMA, AJIUNGA NA ACT

In Kitaifa, Siasa

Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita, ametangaza rasmi kujiunga kwa Wakili Peter Madeleka na chama hicho akitokea Chadema. Madeleka amekabidhiwa kadi ya uanachama na katiba ya chama kama ishara ya kupokelewa rasmi.

Hafla hiyo imefanyika leo Mei 20, 2025 katika makao makuu ya chama hicho Magomeni, Dar es Salaam. Isihaka amempongeza Madeleka kuwa ni mpigania haki za wananchi.

Akizungumza baada ya kupokelewa, Wakili Madeleka amesema ameamua kujiunga na ACT Wazalendo ili kuimarisha nguvu ya upinzani na kuwapa Watanzania matumaini ya mabadiliko. Amesisitiza umuhimu wa kupigania demokrasia na haki za binadamu kwa njia mbalimbali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu