Masau Bwire yamkuta naye majanga….

In Michezo

Masau Bwire, Ofisa Habari wa timu ya Ruvu Shooting
amepelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya TFF kwa kosa la
kutoa taarifa za uongo kwenye vyombo vya habari na kauli za
maudhi kwa viongozi wa timu ya Polisi Tanzania FC.

Imeelezwa kuwa taarifa hizo alizitoa katika mchezo uliochezwa
Februari 22, 2020 uwanja wa Ushirika mkoani Kilimanjaro.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu