PICHA:Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Bi. Ziada Sellah akizindua kitabu kinachoitwa “COVID-19 VITA VYA KARNE YA 19”

In Afya

Wauguzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mount Meru-Arusha wakionesha vyeti vyao mara baada ya kutunukiwa vyeti kama ishara ya kuwatambua kwa kutoa huduma kwenye vituo maalumu wakati wa Corona.

Picha ya pamoja ya Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Bi. Ziada Sellah na Wauguzi na Wakunga wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mount Meru mara baada ya kikao cha pamoja.

Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Bi. Ziada Sellah akizindua kitabu kinachoitwa “COVID-19 VITA VYA KARNE YA 19” kilichoandikwa na Afisa Muuguzi Bi.Jane Barakululiza ambaye ni mtumishi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa Mount Meru

Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga akiongea na wauguzi wa hospitali hiyo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu