Wauguzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mount Meru-Arusha wakionesha vyeti vyao mara baada ya kutunukiwa vyeti kama ishara ya kuwatambua kwa kutoa huduma kwenye vituo maalumu wakati wa Corona.

Picha ya pamoja ya Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Bi. Ziada Sellah na Wauguzi na Wakunga wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mount Meru mara baada ya kikao cha pamoja.

Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Bi. Ziada Sellah akizindua kitabu kinachoitwa “COVID-19 VITA VYA KARNE YA 19” kilichoandikwa na Afisa Muuguzi Bi.Jane Barakululiza ambaye ni mtumishi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa Mount Meru


Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga akiongea na wauguzi wa hospitali hiyo



