Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia
Suluhu Hassan,leo ameshiriki Kuaga Mwili wa Aliyekua
Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la
Afya Duniani WHO Ukanda wa Afrika Mhe Dkt Faustine
Ndugulile leo Tarehe 02 Disemba 2024 katika Viwanja vya
Karimjee.
Kwa upande wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Dkt Samia Suluhu Hassana,akizungumza katika zoezi hilo
ametoa pole kwa familia kwa niaba ya serikali ya Tanzania na
kumwelezea Dkt Faustin Ndugulile kama kiongozi shupavu.



