Rais wa CAF akutana na Paul Kagame.

In Kimataifa

Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), Ahmad Ahmad amekutana na rais wa Rwanda, Paul Kagame siku ya Jumatatu ya Mach 12 huko Kigali ikiwa ni ziara yake ya siku tatu kwa nchi ya Afrika Mashariki.

Rais huyo wa CAF, Ahmad na mwenyeji wake, Paul Kagame wamezungumzia mambo mbalimbali yakiwemo maswala ya maendeleo ya kukuza soka la vijana katika bara la Afrika hasa kipindi hiki ambacho nchi ya Morocco ikiwa katika jitihada za kuandaa kombe la dunia mwaka 2026.

Rais Kagame ambaye amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa umoja wa Afrika katika mkutano wake wa 30 uliyohitimishwa huko Addis Ababa, nchini Ethiopia ameahidi kutumia nafasi hiyo kusaidia maendeleo na kukuza soka la Afrika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu