RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

In Kitaifa

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Taifa (NIDA) huku akiwataka wakuu wa wilaya wote kufanya uzinduzi huo kwenye wilaya zao.

Uzinduzi huo umefanyika Novemba 27/2023 katika kata ya Isuto halmashauri ya wilaya mbeya huku ukishuhudiwa na viongozi mbali mbali wa halmashauri hiyo akiwemo mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Wilaya ya Mbeya Vijijini Ndg. Ackimu Sebastiani Mwalupindi.

Mhe. Comrade Homera katika uzinduzi huo pia amewasisitiza viongozi wa kata kuhakikisha wanagawa vitambulisho hivyo vyote kwa wahusika kwani wananchi wamekuwa wakivisubiri kwa muda mrefu.

Hata hivyo Comrade amesema amemshukuru Rais Dkt. Samia kwakuwapatia vitambulisho hivyo zaidi ya 360,000 katika mkoa wa mbeya huku halmasya wilaya ya Mbeya ikiongoza kupata vitambulisho vingi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu