HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

In Kitaifa, Siasa

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 16 muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Othman Masoud Othman kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake kuteuliwa kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu, Doroth amesema hawatofanya makosa kususia uchaguzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WIZARA YA KATIBA, TLS KUONGOZA UZINDUZI AWAMU YA PILI YA MSAADA WA KISHERIA WA MAMA SAMIA ARUSHA.

Wizara ya Katiba na Sheria Ikiongozwa na Waziri Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Ofisi ya Wanasheria wa Tanganyika TLS chini

Read More...

DC,DED WANAOTAKA KUGOMBEA MSEME MAPEMA-RAIS SAMIA

ais Samia Suluhu Hassan amewataka wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa wilaya na viongozi wengine katika serikali za mitaa kutoa

Read More...

SERIKALI IMEONDOA CHANGAMOTO WALIZOKUTANA NAZO WANAWAKE KATIKA UONGOZI – BI. BAHATI MTONO

📌 Asema Siku ya Wanawake Duniani ilianzishwa 1975 na UN 📌 Asema Nishati Safi ya Kupilkia inachagiza ukombozi wa kiuchumi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu