Waziri wa Afya,maendeleao ya jamiii,jinsia,wazee na watoto
Dkt Doroth Gwajima amesema serikali imechukua hatua kadhaa
katika kuhakikisha kuwa watoto wanalindwa dhidi ya vitendo
vya kikatili.
Dkt Doroth ameeleza hayo alipokuwa akijibu swali la mbunge
wa Mchinga Salma Kikwete aliyeataka kujua ni hatua gani
zinzochukuliwa na serikali katika kuwalinda watoto dhidi ya
vitendo hivyo.



