Serikali yasisitiza kufanya kazi na wadau wa Afya.

In Afya, Kitaifa

Leo December 3,2021 Waziri wa Afya hapa nchini Dkt,Doroth
Gawajima amekutana na wanahabari pamoja na wadau katika

idara ya afya na kusema serikali iko tayari kufanya kazi na
wadau wa afya katika kuondoa changamoto zilizopo za afya.
Hayo yamebainishwa mchana wa leo jiini Dar Es Salaa lakini
pia Dokta Doroth Gwajima hakuacha kuligusia suala la UVIKO-
19.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu