Leo December 3,2021 Waziri wa Afya hapa nchini Dkt,Doroth
Gawajima amekutana na wanahabari pamoja na wadau katika
idara ya afya na kusema serikali iko tayari kufanya kazi na
wadau wa afya katika kuondoa changamoto zilizopo za afya.
Hayo yamebainishwa mchana wa leo jiini Dar Es Salaa lakini
pia Dokta Doroth Gwajima hakuacha kuligusia suala la UVIKO-
19.