Simba waendelea kula mifugo Mara.

In Kitaifa


Serikali Wilayani Serengeti Mkoani Mara imekiri kuwepo kwa
kundi la Simba linaloendelea kula mifugo ya wananchi katika
wilaya hiyo ambapo mpaka sasa ng’ombe zaidi ya 70
wameuawa na Simba hao huku mbuzi na kondoo wakifikia 40.

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara Mh Nurdin Babu
tayari amewasiliana na Mkurugenzi wa wanyama pori kuagalia
namna ya kuwapa wananchi waliokubwa na mkasa wa kuliwa
kwa mifugo yao kupata kifuta machozi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu