Tetemeko laua 800 Afghanistan

In Kimataifa

Zaidi ya watu 800 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 1,300 kujeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi la ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha Ritcher lililotokea Jumapili jioni nchini Afghanistan.

Kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya Taliban, tetemeko hilo limeathiri miji kadhaa katika jimbo la Kunar, karibu na mji wa Jalalabad, na kusababisha uharibifu mkubwa wa makazi. Waziri wa Mambo ya Ndani, Abdul Matin Qani, ameliambia shirika la habari la AP kuwa vifo na majeruhi pia yamerekodiwa katika jimbo jirani la Nangarhar, huku nyumba nyingi zikiripotiwa kuanguka.

Mkazi wa wilaya ya Nurgal eneo lililoathirika zaidi—amesema karibu kijiji kizima kimeporomoka na watu wakiwemo watoto na wazee wamefukiwa na vifusi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu