Wabunge wa Dar watoa Pole msiba wa Ndugulile.

In Kitaifa

Wabunge wa mkoa wa Dare s Salamu kupitia kwa mbunge wa
Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima,wametoa salamu za
pole kufuatia msiba wa mbunge wa jimbo la Kigamboni Dkt
Faustine Ndugulile.

Salamu hizo zimetolewa na mbunge Gwajima katika viwanja wa
Karimjee lilipokuwa likifanyika zoezi la watu mbali mbali
kuuaga mwili wa Dkt Ndugulile.

Kwa upande wake Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee
aliwakisha kambi ya wachache Bungeni,ametoa salamu za pole
akieleza mambo kadhaa,na kuongeza kuwa Dkt Ndugulile
alikuwa mtiifu na mkweli jambo ambalo lilimsababishia kupata
ajali za kisiasa enzi ya uhai wake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu