Wafanyakazi wa treni Wagoma Uingereza

In Kimataifa

Mgomo mkubwa kabisa wa usafiri wa treni unaanza hii leo
nchini Uingereza.


Zaidi ya wafanyakazi 50,000 wa reli watagoma hii leo,
Alhamisi na Jumamosi wakishinikiza kuboreshewa malipo,
mazingira na kulalamikia kupunguzwa nafasi za ajira.


Katibu mkuu wa chama cha wafanyakazi wa reli na usafirishaji
wa majini, RMT, Mick Lynch amesema hawana namna zaidi ya
kuwatetea wanachama wao na kumaliza mvutano, ingawa
mazungumzo ya dakika za mwisho hayakuzaa matunda,
ikimaanisha mgomo huo utaendelea.


Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema vyama vya
wafanyakazi havisaidii bali vinawaumiza watu wanaodai
wanawasaidia. Vyama hivyo vimeonya mgomo huo unaweza
kuchochea sekta nyingine kufuata mkondo huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu