Wagner atajwa kuwa mhalifu wa kivita.

In Kimataifa

Mwanasheria mkuu wa Marekani siku ya Jumatano alimtaja Yev-geny Prig-ozhin mkuu wa jeshi la mamluki la Russia Wagner linalopigana nchini Ukraine kuwa ni  mhalifu wa kivita.

Mwanasheria Mkuu Merrick Garland alikiambia kikao cha Seneti kwamba wizara ya Sheria inaisaidia Ukraine kuchunguza uhalifu wa kivita unaodaiwa kufanywa tangu uvamizi wa Russia ikiwa ni pamoja na kundi la kijeshi la Wagner.

Bwana Prig-ozhin, ambaye anashughulikia suala hilo, kwa maoni yangu ni mhalifu wa vita, Garland aliambia kikao hicho.

Labda hiyo haifai kwa mimi kusema kama jaji kabla ya kupata ushahidi wote. Lakini nadhani tuna ushahidi wa kutosha kwa wakati huu kwangu kuhisi hivyo.

Kundi hilo, ambalo linahusika na mashambulizi dhidi ya Waukraine katika mkoa wa Donbass, ikiwa ni pamoja na kuwaleta wafungwa kutoka katika magereza ya Russia ni jambo lisiloeleweka wanalolifanya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu