Wito watolewa kwa watendaji wa Mamlaka ya Maji safi jijini Dar es salaam(DAWASCO)

In Kitaifa

Wito umetolewa kwa watendaji wa Mamlaka ya Maji safi Jijini Dar es
Salaam (DAWASCO) kuongeza nguvu katika usambazaji wa huduma hiyo kwani
katika hatua ya uzalishaji imeonesha mafanikio.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa
Kitila Mkumbo wakati wa alipotembelea ofisi za Dawasco na kuzungumza
na watumishi wa Mamlaka hiyo, ambapo amewataka kuongeza kasi katika
usambazaji wa Maji na kuboresha miundombinu.

Aidha Profesa Mkumbo ametoa rai kwa Taasisi zisizolipia huduma hiyo
kusitishiwa mara moja kama ambavyo Agizo la Rais Magufuli kwa
wasiolipia huduma ya Umeme kusitishiwa.

Awali akiwasilisha ripoti ya hali ya utoaji huduma wa Mamlaka hiyo
Mkurugenzi Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuwa kwa sasa Mikoa ya
Dar es salaam na Pwani changamoto ya Huduma za maji safi zimepungua.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu