WIZARA YA MALIASILI YAOMBA BILLION 334.3

In Kitaifa

Wizara ya Maliasili na Utalii ,imeomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi bilioni 334.3 Kwa mwaka Wa fedha 2026/27 ili kutekeleza malengo ya vipaumbele mbalimbali vya sekta hiyo ambavyo vinavyolenga kuimalisha uhifadhi kukuza Utalii na kuongeza mchango Wa sekta kupitia uchumi Wa Taifa.

Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo ,Bungeni Jijini Dodoma na Waziri Wa Maliasili na Utalii DKT. ASHATU KIJAJI , ameliomba Bunge kuidhimisha kiasi Cha shilingi bilion 334.3 kwa matumizo ya fungu68 katika mwaka Wa fedha 2026/27.

DKT .KIJAJI,amesema kati ya fedha hizo shilingi 272,044,425,000 zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida huku shilingi62,301,445,000.zikielekezwa kwenye utekelezaji Wa Miradi ya Maendeleo.

Pia ,amefafanua kuwà fedha ya matumizi ya kawaida zinajumuisha shilingi144,691,490,000 Kwa ajili ya mishahara ya watumishi pamoja na shilingi127,352,935,000 Kwa matumizi ya mengine ya Wizara na taaasisi zake.

Katika mwaka Wa fedha 2026/27 vipaumbele vingine ni kuimarisha
Utangazaji Wa Utalii wa ndani na nje ya Nchi Kwa kutumia mikakati mahususi ya masoko hususani katika masoko ya kimkakati na mapya ikiwemo mashariki ya mbali na mashariki ya kati.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

TANROADS YAJENGA KM 243 ZA BARABARA ZA LAMI NDANI YA MIEZI 10

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendelea kuimarisha sekta ya miundombinu nchini

Read More...

Dkt Samia: Tutashirikiana kuendeleza matumizi nishati ya nyuklia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ipo tayari kushirikiana na mataifa ya Afrika pamoja na taasisi za

Read More...

Dkt. Samia Azungumza na Wajumbe wa Shina Na. 1 CCM Chamwino Dodoma

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu