YE ARUDI STUDIO

In Burudani, Kimataifa

Mwishoni mwa mwezi agost album ya DONDA iliachiwa ikiwa na wakali mbali mbali lakini Kanye west tayari anapanga kuachia mwendelezo wa DONDA katika mahojiano na complex steven victor anasema kwamba YE amerudi studio kufanya kazi ya DONDA.

Steven Victor Ambaye ni CEO katika G.O.O.D. Music na Makamu wa Raiswa A&R katika Universal Music Group amefichua kuwa Kanye ameanza kazi ya kutengeneza albamu mpya. “Ye ameanza kufanyia kazi kitu chake kipya cha DONDA 2”, aliwambia mtandao wa complex.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu