YE ARUDI STUDIO

In Burudani, Kimataifa

Mwishoni mwa mwezi agost album ya DONDA iliachiwa ikiwa na wakali mbali mbali lakini Kanye west tayari anapanga kuachia mwendelezo wa DONDA katika mahojiano na complex steven victor anasema kwamba YE amerudi studio kufanya kazi ya DONDA.

Steven Victor Ambaye ni CEO katika G.O.O.D. Music na Makamu wa Raiswa A&R katika Universal Music Group amefichua kuwa Kanye ameanza kazi ya kutengeneza albamu mpya. “Ye ameanza kufanyia kazi kitu chake kipya cha DONDA 2”, aliwambia mtandao wa complex.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu