YE ARUDI STUDIO

In Burudani, Kimataifa

Mwishoni mwa mwezi agost album ya DONDA iliachiwa ikiwa na wakali mbali mbali lakini Kanye west tayari anapanga kuachia mwendelezo wa DONDA katika mahojiano na complex steven victor anasema kwamba YE amerudi studio kufanya kazi ya DONDA.

Steven Victor Ambaye ni CEO katika G.O.O.D. Music na Makamu wa Raiswa A&R katika Universal Music Group amefichua kuwa Kanye ameanza kazi ya kutengeneza albamu mpya. “Ye ameanza kufanyia kazi kitu chake kipya cha DONDA 2”, aliwambia mtandao wa complex.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu