Rapper Jay-z amefungua mfuko wa zaidi Tsh. Billioni 30 kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa NipseyHussle mfuko ambao utasimamiwa na Mke wa Rapper huyo Lauren ambaye aliuliwa siku ya jumapili kwa kushambuliwa kwa risasi
Rapper Jay-Z anapewa heshima ya juu na sio kwa muziki wake tu bali kwa moyo wa kuwasaidia rappers wengine wanapohitaji msaada, amewahi kumsaidia Meek Mill, 21 Savage na hata Lil Wayne.
Nipsey Hussle alikuwa amelamba shavu la usimamizi chini Label ya Jay-Z, Roc Nation.