Jay-z aimwagia pesa familia ya Nipsey Hussle.

In Burudani, Kimataifa

Rapper Jay-z amefungua mfuko wa zaidi Tsh. Billioni 30 kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa NipseyHussle mfuko ambao utasimamiwa na Mke wa Rapper huyo Lauren ambaye aliuliwa siku ya jumapili kwa kushambuliwa kwa risasi

Rapper Jay-Z  anapewa heshima ya juu na sio kwa muziki wake tu bali kwa moyo wa kuwasaidia rappers wengine wanapohitaji msaada, amewahi kumsaidia Meek Mill, 21 Savage na hata Lil Wayne.

Nipsey Hussle alikuwa amelamba shavu la usimamizi chini Label ya Jay-Z, Roc Nation.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu