Takukuru yatakiwa kufuatilia matumizi ya Bil 1.5.

In Kitaifa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora Mohamed Mchengerwa, ameitaka
Takukuru kufuatilia matumizi ya fedha zaidi ya Bilioni 396
zilizopelekwa katika majimbo yote nchini,kwa ajili ya ujenzi wa
barabara kwa kiwango cha lami.


Waziri Mchengerwa ametoa maagizo hayo leo kwenye uzinduzi
wa kituo cha kumbukumbu za nyaraka za Umma Kanda ya Ziwa
kilichopo mtaa wa Lumala Mashariki wilayani Ilemela mkoani
Mwanza.


Katika maelezo yake amesema kuwa serikali imetoa Bil 1.5 kwa
kila jimbo nchini kwa ajili ya ujenzi huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu