Young Thug na Elton John ngoma inogile

In Uncategorized

Uhusiano wa Young Thug na Elton John unaendelea kushamiri, haswa baada ya kuwa pamoja katika kuandaa ngoma iitwayo “High”.

Wakati wa mahojiano ya hivi karibuni na Billboard, icon wa mziki aina ya English rock alikiri kushangazwa na uwezo wa freestyle ya Thugger wakiwa studio kuliko uwezo wa Eminem aliokuwa amemwonyesha.

“Namaanisha, nimeona Marshall [Mathers] akifanya hivyo katika Detroit, lakini sijawahi kuona mtu kama Thug akiingia na kufanya hivyo.

“High” ilitolewa mnamo 2018, lakini wawili hao walikutana miaka kabla wimbo huo haujatoka. Katika mazungumzo yao, Elton John alimhimiza Young Thug kuimba zaidi katika muziki wake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu