Mdee afichua Madeni ya ATCL,Mwigulu adai yamelipwa.

In Kitaifa

Kikao cha 5 cha Bunge kimeendelea leo Bungeni jijini Dodoma,
huku wabunge wakiuuliza maswali na kujibiwa na Serikali.


Wabunge wameenelea kuchangia juu ya hotuba ya Waziri mkuu
na mbunge wa Viti maalum Halima Mdee alisimama kuchangia
katika sekta ya usafirishaji na kueleza shirika la ndege ATCL,
bado linaendeshwa kwa hasara kwani lina madeni makubwa.

Baada ya mchango huo wa Halima Mdee ndipo akasimama
wazuiri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba na kueleza kuwa,
madeni yanayozungumzwa na Halima made yalishalipwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu