Tarehe kama ya leo ilikuwa mwaka 1945 Rais wa 32 wa
Marekani Franklin D Roosevelt afariki dunia huko Warm Spring
Georgia na Harry S. Truman akachukua nafasi na kuwa rais wa
34 wa Marekani.
Franklin D Roosevelt ndiye Rais pekee ambaye ameshikilia
mihula minne madarakani katika taifa hilo la Marekani.



