Zitto na Mchinjita wafunguka kutekwa kwa Abdul Nondo.

In Kitaifa, Siasa

Jeshi la Polisi Tanzania limesema Mwenyekiti wa Ngome ya
Vijana wa chama cha ACT Wazalendo Ndugu Abdul Nondo
alietekwa Alfajiri ya Tar moja Dec,ametelekezwa maeneo ya
fukwe za Coco, Kindondoni jijini Dar es Salaam na watu ambao
hawafahamu.


Polisi wamesema baada ya kutelekezwa katika eneo hilo, Nondo
alisimamisha bodaboda na kumwelekeza amfikishe katika ofisi
za chama chake zilizopo Magomeni,Jijini Dar es Salaam
walifika muda wa saa tano usiku.


Kwa mujibu wa taarifa hiyo, baada ya kufika katika ofisi hizo,
Nondo alionana na viongozi wake na kupelekwa hospitali kwa
ajili ya uchunguzi wa afya yake.

Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita,ni
miongoni mwa waliofika katika hospitali ya Aghakani kumjulia
hali Nondo na amezugumza baadhi ya mambo.

Kwa upande wake Kiongozi mstaafu wa chama hicho ndugu
Zitto Kabwe akizungumzia tukio hilo,amewataka watanzania
kuendelea kumwombea Nondo hali yake iwe sawa,na atapopata
nafuu ataweza kuelezea mwenyewe kile kilichotokea.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu