Mahakama yatupilia mbali ombi la wabunge 8 waliofukiuzwa cuf.

In Kitaifa

Wabunge 8 wa viti maalum wa chama cha wananchi CUF waliofukuzwa uanachama na kupoteza nafasi zao, wanakabiliwa na mtihani mgumu baada ya mahakama kutupilia mbali ombi lao.

Wabunge hao waliitaka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuweka zuio la kuapishwa kwa wabunge wapya, walioteuliwa katika nafasi hizo.

Badala yake mahakama hiyo imesema itatoa uamuzi wa pingamizi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali AG, dhidi ya maombi ya wabunge hao na madiwani wawili, wanaopinga kufukuzwa uanachama Agosti 25 mwaka huu.

Uamuzi huo umetolewa jana na Jaji Lugano Mwandambo, baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu