Kim Kardashian atoa Somo kwa Wanamitindo

In Mitindo

 

Kim Kardashian

Mwanamitindo Maarufu Duniani na Mama wa Watoto Wawili, Kim Kardashian ambaye ni mke halali wa Rapper wa Marekani, Kanye West, Amefunguka Mapya yanayomfanya aendelee kuwa Bora kila wakati kwenye Suala Zima la Mitindo.

Mwanamitindo huyo amesema Siri kubwa aliyoihifadhi moyoni mwake inayomfanya aendelee kuwepo on Top kwa Wanamitindo, ni Kukubali kuyapokea yote mabaya na Mazuri anayotupiwa huku yeye akiyatumia kama Mafunzo kwake.

Kim amesema kuna wakati watu wanamtukana kiasi ambacho angekuwa na Moyo Dhaifu angeshakata tamaa lakini kutokana na Kujiamini kwake na kile anachokifanya yeye anachukulia kama Shule.

Kim Kardashian anaendelea kuweka tishio kwenye Tasnia ya Mitindo kwa kuingiza Sokoni Beauty line yake mpya aliyoipa jina la KKW 

KAMA WEWE NI MWANAMITINDO BILA SHAKA UTAKUWA UMECHUKUA KITU HATA KIMOJA

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu