ACT wamtumia barua IGP

In Kitaifa, Siasa

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa tayari wametuma barua kwa IGP kuhusu taarifa za tishio la kuuawa kwa Kiongozi wao, Zitto Kabwe.

Akiongea na waandishi wa habari leo kwenye ofisi za chama hiko jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Mawasiliano kwa Umma na Uenezi, Ado Shaibu amesema wao wamepokea taarifa hizo kutoka kwenye mitandao ya kijamii.

Katibu huyo ameongeza kuwa hawawezi kupuuzia taarifa hizo kwa kuwa mpaka leo hii bado haifahamiki Ben Saanane yuko wapi.

“Lakini tumemwandikia barua IGP ili achunguze taarifa hizo, hatuwezi kupuuza kwa sababu Chadema ililalamika kabla ya shambulio la Tundu Lissu, hatupuuzi kwa sababu, leo hii hatujui Ben Saanane yuko wapi,” amesema Katibu huyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu