Kaka yake Bush alazwa ICU baada ya mazishi ya mkewe.

In Kitaifa

Aliyekuwa Rais wa Marekani wa 41, George H W Bush amelazwa hospitalini kwa sababu ya kusumbuliwa na maradhi ya bakteria siku moja baada ya kuhudhuria mazishi ya mkewe Barbara.

Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Bush amelazwa katika kitengo cha uangalizi wa karibu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na msemaji wa familia, kiongozi huyo aliyeiongoza Marekani tangu mwaka 1989 hadi 1993 amepatwa na maambukizi yaliyoenea kwenye damu, lakini “matibabu yake yanaendelea vizuri”.

Bush mwenye miaka 93 alipokelewa katika Hospitali ya Houston, siku ya Jumapili asubuhi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu