Antonio Conte kusaini Mkataba na Chelsea

In Michezo

Kuna taarifa kwamba Kocha Antonio Conte yuko mbioni kukamata mkataba mpya wa  klabu yake ya  Chelsea.

Image result for Antonio Conte
Antonio Conte

Kwa mujibu wa Express. ni kwamba Tayari Antonio ameshafanya mazungumzo na kukubaliana na  mmiliki wa timu hiyo Roman Abramovich

Muitaliano huyo ambaye amebakiwa na miaka miwili katika mkataba wake wa sasa, lakini bosi wake anataka kumpa mkataba mwingine baada ya kuanza vema kampeni katika soka la Uingereza.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu