Antonio Conte kusaini Mkataba na Chelsea

In Michezo

Kuna taarifa kwamba Kocha Antonio Conte yuko mbioni kukamata mkataba mpya wa  klabu yake ya  Chelsea.

Image result for Antonio Conte
Antonio Conte

Kwa mujibu wa Express. ni kwamba Tayari Antonio ameshafanya mazungumzo na kukubaliana na  mmiliki wa timu hiyo Roman Abramovich

Muitaliano huyo ambaye amebakiwa na miaka miwili katika mkataba wake wa sasa, lakini bosi wake anataka kumpa mkataba mwingine baada ya kuanza vema kampeni katika soka la Uingereza.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu