Antonio Conte kusaini Mkataba na Chelsea

In Michezo

Kuna taarifa kwamba Kocha Antonio Conte yuko mbioni kukamata mkataba mpya wa  klabu yake ya  Chelsea.

Image result for Antonio Conte
Antonio Conte

Kwa mujibu wa Express. ni kwamba Tayari Antonio ameshafanya mazungumzo na kukubaliana na  mmiliki wa timu hiyo Roman Abramovich

Muitaliano huyo ambaye amebakiwa na miaka miwili katika mkataba wake wa sasa, lakini bosi wake anataka kumpa mkataba mwingine baada ya kuanza vema kampeni katika soka la Uingereza.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu