Kylie Jenner na Tyga Wamwagana tena!! Hii ndiyo Sababu

In Burudani

Wanasema Ukiachana na Mpenzi wako halafu ukarudiana naye, Mkaachana tena halafu Mkarudiana kwa mara ya Pili, Basi Mjue huo utakuwa Utamaduni wenu.

Mfano mzuri umekuwa kwa Wapenzi Wawili, Rapper Tyga naMwanadada kutoka Familia ya Kardashian, Kylie Jenner.

Kylie  Jenner &  Tyga

Taarifa mpya Mjini ni kwamba Tyga na Mpenzi wake Kylie Wameachana kwa mra nyingine tena ikiwa ni mara ya tatu.

Mtandao wa People umeeleza kwa kunukuu taarifa zilizotoka kwenye Chanzo cha Karibu na Couple hiyo ambacho Kimelithibitisha hilo lakini chanzo chenyewe kikasema kwamba imekuwa ni kawaida yao kupeana Likizo ya Mapenzi na Kurudiana na hivyo huenda Watayamaliza na kurudiana tena.

“They tend to take little breaks all the time and then get back together. It’s definitely possible they’ll work things out again,” —kilisema chanzo hicho.

Tyga na Kylie wao wamekuwa watu wa Mapenzi ya ON & OFF, Sababu kubwa ikiwa ile inayosemekana kwamba Familia ya Kardashian inakuwa na Maamuzi ya Mahusiano ya Watoto Wao sometimes kitu ambacho kinafanya Muda mwingine Mtoto wa Kike kukosa nguvu ya Kulitetea penzi lake kwa Mwanaume ampendaye.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu