Kylie Jenner na Tyga Wamwagana tena!! Hii ndiyo Sababu

In Burudani

Wanasema Ukiachana na Mpenzi wako halafu ukarudiana naye, Mkaachana tena halafu Mkarudiana kwa mara ya Pili, Basi Mjue huo utakuwa Utamaduni wenu.

Mfano mzuri umekuwa kwa Wapenzi Wawili, Rapper Tyga naMwanadada kutoka Familia ya Kardashian, Kylie Jenner.

Kylie  Jenner &  Tyga

Taarifa mpya Mjini ni kwamba Tyga na Mpenzi wake Kylie Wameachana kwa mra nyingine tena ikiwa ni mara ya tatu.

Mtandao wa People umeeleza kwa kunukuu taarifa zilizotoka kwenye Chanzo cha Karibu na Couple hiyo ambacho Kimelithibitisha hilo lakini chanzo chenyewe kikasema kwamba imekuwa ni kawaida yao kupeana Likizo ya Mapenzi na Kurudiana na hivyo huenda Watayamaliza na kurudiana tena.

“They tend to take little breaks all the time and then get back together. It’s definitely possible they’ll work things out again,” —kilisema chanzo hicho.

Tyga na Kylie wao wamekuwa watu wa Mapenzi ya ON & OFF, Sababu kubwa ikiwa ile inayosemekana kwamba Familia ya Kardashian inakuwa na Maamuzi ya Mahusiano ya Watoto Wao sometimes kitu ambacho kinafanya Muda mwingine Mtoto wa Kike kukosa nguvu ya Kulitetea penzi lake kwa Mwanaume ampendaye.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu