Arsenal kumenyana na Tottenham, debi ya London.

In Kimataifa, Michezo

The Gunners pia itamkagua beki Shkrodan Mustafi na Danny Welbeck ambao wamerudi katika mazoezi huku Alexandre Lacazzette akitarajiwa kucheza.

Harry Kane , Dele Alli na Harry Winks wote wanatarajiwa kushiriki licha ya kukosa kuichezea Uingereza kutokana na matatizo ya majeraha.

Kipa Hugo Hloris, ambaye hakucheza katika mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kutokana na jereha la nyonga pia huenda akashiriki.

Kipa wa ziada Michel Vorm alirudi katika mazoezi siku ya Alhamisi na atakaguliwa, lakini Toby Alderweireld ana jeraha baya la nyonga na huenda beki huyo akasalia nje hadi baada ya sikukuu ya Krisimasi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu