Arsenal kumenyana na Tottenham, debi ya London.

In Kimataifa, Michezo

The Gunners pia itamkagua beki Shkrodan Mustafi na Danny Welbeck ambao wamerudi katika mazoezi huku Alexandre Lacazzette akitarajiwa kucheza.

Harry Kane , Dele Alli na Harry Winks wote wanatarajiwa kushiriki licha ya kukosa kuichezea Uingereza kutokana na matatizo ya majeraha.

Kipa Hugo Hloris, ambaye hakucheza katika mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kutokana na jereha la nyonga pia huenda akashiriki.

Kipa wa ziada Michel Vorm alirudi katika mazoezi siku ya Alhamisi na atakaguliwa, lakini Toby Alderweireld ana jeraha baya la nyonga na huenda beki huyo akasalia nje hadi baada ya sikukuu ya Krisimasi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu