Arsenal kumenyana na Tottenham, debi ya London.

In Kimataifa, Michezo

The Gunners pia itamkagua beki Shkrodan Mustafi na Danny Welbeck ambao wamerudi katika mazoezi huku Alexandre Lacazzette akitarajiwa kucheza.

Harry Kane , Dele Alli na Harry Winks wote wanatarajiwa kushiriki licha ya kukosa kuichezea Uingereza kutokana na matatizo ya majeraha.

Kipa Hugo Hloris, ambaye hakucheza katika mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kutokana na jereha la nyonga pia huenda akashiriki.

Kipa wa ziada Michel Vorm alirudi katika mazoezi siku ya Alhamisi na atakaguliwa, lakini Toby Alderweireld ana jeraha baya la nyonga na huenda beki huyo akasalia nje hadi baada ya sikukuu ya Krisimasi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu