CCM KUWEKA HADHARANI ILANI YAO YA 2025 – 2030

In Kitaifa, Siasa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitaiweka hadharani Ilani yake mpya ya 2025-2030 ambayo itanadiwa wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025.

Rais Samia amesema kuwa ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mwaka huu imeandaliwa kwa ushirikiano mpana unaojumuisha wananchi, asasi za kiraia, na wadau mbalimbali wa maendeleo, hatua iliyolenga kuhakikisha ilani inaakisi mahitaji halisi ya wananchi na dira ya maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Rais Samia amesema kuwa Ilani hiyo itazinduliwa Ijumaa, Mei 30,2025.
Ameyasema hayo wakati akifungua Mkutano Mkuu wa CCM unaofanyika kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma,.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu